Wilaya ya Bahi

Wilaya ya Bahi ni moja kati ya wilaya nane za Mkoa wa Dodoma, Tanzania yenye postikodi namba 413[1].

Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Bahi mjini.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Bahi ilihesabiwa kuwa 221,645 [2] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 322,526 [3].

  1. "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-10-08.
  2. http://www.nbs.go.tz/sensa/popu2.php Archived 13 Aprili 2014 at the Wayback Machine. DODOMA REGION, BAHI DISTRICT/COUNCIL POPULATION
  3. https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy